Saturday, October 18, 2014

UTAMADUNI WA MWAFRIKA, NA HIVI NDO TULIVYOJAALIWA NA MWENYEZI MUNGU



 Siku ya jumamosi mtaani Maputo huwa ni kama hivi, ni biashara kwa kwenda mbele

 Vitu vya asili, ki utalii zaidi
 Mataifa mbali mbali maeneo ya biashara hizi

 Vinyago
  


 Vibanio vya kichwani



 Vikoi vya kila aina


Kuzunguka na kuangalia biashara hizi ni utalii tosha....ukinunua unakuwa umeafanya vizuri zaidi, kusaidiana kiuchumi pia

No comments: