Wednesday, February 22, 2012

LEO NI JUMATANO YA MAJIVU KWA WAKRISTO

Tutakiane heri na mema katika kipindi hiki kitakatifu, tutende mema na yale yote yampendezayo Mungu, kila la heri kwa wakristu wote

Funga siku ya Jumatano ya Majivu usile nyama siku ya Ijumaa Kuu

No comments: